JKCI na TTB kushirikiana kukuza Utalii Tiba nchini
Mkurungenzi Mkuu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Ephraim Mafuru akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge alipotembelea taasisi hiyo jana kwaajili ya kuona namna ya kushirikiana katika kukuza utalii tiba nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akielezea namna JKCI inafanya utalii tiba nchini wakati wa kikao cha ushirikiano na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) katika kukuza utalii tiba nchini kilichofanyika jana katika Kliniki ya JKCI Osterbay iliyopo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Mkurungenzi Mkuu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Ephraim Mafuru mara baada ya kumalizika kwa kikao cha ushirikiano kati ya taasisi hizo mbili katika kukuza utalii tiba nchini kilichofanyika jana JKCI Kliniki ya Osterbay iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge na
Mkurungenzi Mkuu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Ephraim Mafuru wakiwa katika
picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hizo mara baada ya
kumalizika kwa kikao cha ushirikiano kati taasisi hizo mbili katika kukuza
utalii tiba nchini kilichofanyika jana JKCI Kliniki ya Osterbay iliyopo jijini
Dar es Salaam.
Picha
na JKCI
***************************************************************




Comments
Post a Comment