Posts

Showing posts from April, 2024

JKCI yatafuta bilioni 1 ya upasuaji kwa watoto 500 wasio na uwezo

Image
Kaimu mtendaji mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la Heart Team Africa Foundation (HTAF) Linda Gideon akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu  shirika hilo kuandaa chakula cha jioni (Dinner Gala) kwa ajili ya kuchangisha fedha za  matibabu ya moyo kwa watoto wasio na uwezo. Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya   chakula cha jioni (Dinner Gala) kwaajili ya kuchangisha fedha za  matibabu ya moyo kwa watoto wasio na uwezo ukiendelea katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) . Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya  kuandaa chakula cha jioni (Dinner Gala) kwaajili ya kuchangisha fedha za matibabu ya moyo kwa watoto wasio na uwezo Dkt.   Naizihijwa Majani akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa  Kamati ya Maandalizi ya  kuandaa chakula cha jioni (Dinner Gala) kwaajili ya kuchangisha fedha za  matibabu ya moyo kwa watoto wasio na uwezo Idd Lema  akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. **********

Watoto 40 wafanyiwa upasuaji wa moyo kwa muda wa siku tano

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyofanywa na wataalamu wa Taasisi hiyo kwa kushirikiana na wenzao wa mradi wa Little Heart uliopo ndani ya shirika la Muntada Aid lenye makao makuu yake mjini London nchini Uingereza. Meneja wa miradi wa Shirika la Muntada Aid Kabir Miah  akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyofanywa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  kwa kushirikiana na wenzao wa shirika hilo kupitia mradi wa Little Heart. Mkuu wa Kitengo cha magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Sulende Kubhoja akizingumza na  waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa chanjo kwa watoto wakati wa kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyofanywa na wataalamu wa Taasisi hiyo kwa kushirikiana na wenzao wa mradi wa Little Heart uliopo ndani ya shirika la Muntada Aid lenye makao ma

Viongozi watembelea banda la JKCI maonesho ya Osha

Image
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Ajira Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dickson Minja alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa kambi maalumu ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Services katika maonesho ya kimataifa ya usalama na afya mahali pa kazi yanayofanyika viwanja vya General tyre jijini Arusha. Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Dkt. John Mduma akipimwa shinikizo la damu na Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Odilia Njau alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa kambi maalumu ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Services katika maonesho ya kimataifa ya usalama na afya mahali pa kazi yanayofanyika viwanja vya General tyre jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildergard Karau akimpima sukari kwenye damu mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa kambi maalumu ya Mhe. Dkt. Samia Su

Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud aipongeza JKCI

Image
   Rais wa Jamhuri ya Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa. Mkurugenzi Mtendaji    wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimweleza Rais wa Jamhuri ya Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati Rais huyo alipotembelea Taasisi hiyo. Rais wa Jamhuri ya Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa    Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) mara baada ya kumaliza ziara yake ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu   akimwelezea Rais wa Jamhuri ya Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud kuhusu huduma ya upasuaji mdogo wa moyo inayotolewa katika mtambo wa Cathlab wakati Rais huyo alipotembelea leo Taasisi ya

Uchunguzi wa afya mapema kusaidia kupunguza idadi ya wagonjwa wa moyo

Image

Wapata elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo

Image
Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akimpa ushauri mara baada ya kupima moyo mwananchi aliyejitokeza wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika katika Maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi katika viwanja vya General tire vilivyopo jijini Arusha. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dickson Minja akimpima shinikizo la damu Kamishna wa kazi msaidizi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Andrew Mwalwisi wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika katika Maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi katika viwanja vya General tire vilivyopo jijini Arusha. Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akiwafundisha namna moyo unavyofanya kazi wananchi waliotembelea banda la taasisi hiyo wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maonesho ya ki

Arusha wajitokeza kupima moyo

Image
Maafisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Odilia Njau na Benson Bisare wakiwapima wananchi shinikizo la damu walipotembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi yanayofanyika katika viwanja vya General tire vilivyopo jijini Arusha. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dickson Minja akimwelezea huduma zinazotolewa katika banda la Taasisi hiyo mwananchi aliyetembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi yanayofanyika katika viwanja vya General tire vilivyopo jijini Arusha. ********************************************************************************************************* Wananchi wa Mkoa wa Arusha wajitokeza kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, sukari kwenye damu na uwiano wa urefu na uzito katika banda la Tasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Uchunguzi huo unafanyika katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lilil

JKCI yawafuata wagonjwa majumbani

Image
  Mkurugenzi wa Sakaar Healthtech Limited Pankaj Kumar akimuonesha Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge mfano wa taarifa za mgonjwa aliyeko nyumbani ambaye amefungiwa kifaa kinachojulikana kwa jina la  DOZEE zinavyoonekana kupitia simu ya mkononi ya daktari aliyeunganishwa na kifaa hicho. Mkurugezi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwaonesha waandishi wa habari kifaa  maalumu kinachojulikana kwa jina la DOZEE ambacho kinawekwa chini ya godoro la mgonjwa akiwa nyumbani na kuweza kusoma shinikizo la damu, kiwango cha hewa mwilini, mapigo ya moyo na umeme wa moyo iwapo kutakuwa na shida taarifa itatumwa moja kwa moja kwa daktari kupitia simu yake ya mkononi ambayo imeunganishwa na kifaa hicho.  Mkurugezi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwaonesha waandishi wa habari kifaa maalumu kijulikanacho kwa jina la DOZEE kinachotumika kufuatilia maendeleo ya mgonjwa anayetibiwa akiw

Watoto 60 kufanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu ya matibabu

Image
Wataalamu wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada Aid lenye makao yake makuu mjini London nchini Uingereza wakimfanyia mtoto upasuaji mdogo wa kuzibua mshipa wa damu wa moyo ulioziba katika kambi maalumu ya matibabu ya siku nane inayofanyika JKCI. Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada Aid lenye makao yake makuu mjini London nchini Uingereza wakimfanyia mtoto upasuaji mkubwa wa moyo wa kufungua kifua na kuziba tundu la moyo    katika kambi maalumu ya matibabu ya siku nane inayofanyika JKCI. *********************************************************************************************************************************************************************************************************  Watoto 60 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo ambayo ni matundu na mishipa ya damu kutokukaa katika

Serikali mkoani Kigoma yaboresha huduma za matibabu ya kibingwa

Image
Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa akizungumza na wananchi wa mkoa huo waliofika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zilizokuwa zinatolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Jesca Leba. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Kawajika Mwinyipembe akimweleza Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa jinsi kipimo cha kuangalia moyo unavyofanya kazi kinavyofanyika wakati wa kambi maalumu ya matibabu ya moyo iliyofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana    na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma. Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa akizungumza na madaktari wa watoto wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma na wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alipotembelea hivi karibuni kambi ya uchunguzi na matibabu ya moyo. Kulia ni

Kigoma wapata elimu ya magonjwa ya moyo

Image
Afisa Masoko wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ireen Mbonde akimweleza Katibu Tawala wa mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati wa uzinduzi wa mradi wa lishe mtambuka unaofadhiliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Kulia ni Mratibu wa Huduma za Kitabibu wa Mratibu wa Huduma za Afya Mkoa wa Kigoma Dkt.Frank Sudai. Wataalamu wa JKC wako mkoani Kigoma kwaajili ya kufanya kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya moyo inayofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma.     Mratibu wa Huduma za Afya Mkoa wa Kigoma Dkt.Frank Sudai  akiwafundisha wanafunzi wa shule ya sekondari Kigoma Ujiji jinsi moyo unavyofanya kazi wakati wanafunzi hao walipotembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa uzinduzi wa mradi wa lishe mtambuka unaofadhiliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Kulia ni Afisa Masoko wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ireen Mbonde. Mratibu wa Huduma za Afya Mkoa