Wananchi Iringa wachangamkia fursa ya kupima moyo


Mkuu wa Kitengo cha Utafiti na Mafunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Pedro Pallangyo akizungumza na mwananchi aliyefika katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa (IRRH) kwaajili ya kupima moyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa IRRH.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jalack Milinga akimpima kipimo cha kuangalia sukari mwilini mwananchi aliyefika katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa (IRRH) kwaajili ya kupima moyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa IRRH.

Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna Faraji akiwaelezea umuhimu wa lishe bora wananchi waliofika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa (IRRH) kwaajili ya kupima moyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa IRRH.

Afisa Uuguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa (IRRH) Diana Nyagawa akimpima urefu na uzito mwananchi aliyefika katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa (IRRH) kwaajili ya kupima moyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa IRRH.


Wananchi wa mkoa wa Iringa wakiendelea kupatiwa huduma mbalimbali za uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano ya upimaji wa magonjwa ya moyo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa (IRRH).

Picha na: Khamis Mussa

****************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa