Wafanyakazi wa JKCI washiriki Iftari ya pamoja


Kaimu MKurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akizungumza na wafanyakazi wa JKCI  wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Kaimu MKurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akiwaongoza wafanyakazi wa taasisi hiyo kuchukuwa chakula wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichukuwa  chakula wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)