Wafanyakazi wa JKCI washiriki Iftari ya pamoja
Kaimu MKurugenzi Mtendaji wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akizungumza na wafanyakazi
wa JKCI wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa
na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Kaimu MKurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akiwaongoza wafanyakazi wa taasisi hiyo kuchukuwa chakula wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichukuwa chakula wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment