Wafanyakazi wa JKCI washiriki Iftari ya pamoja


Kaimu MKurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akizungumza na wafanyakazi wa JKCI  wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Kaimu MKurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akiwaongoza wafanyakazi wa taasisi hiyo kuchukuwa chakula wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichukuwa  chakula wakati wa Iftari ya pamoja iliyoandaliwa na Taasisi hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma