Wapata elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) Dickson Minja akimpima shinikizo la damu Kamishna wa kazi
msaidizi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Andrew
Mwalwisi wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika
katika Maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi katika viwanja vya
General tire vilivyopo jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akiwafundisha namna moyo unavyofanya kazi wananchi waliotembelea banda la taasisi hiyo wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi kwenye viwanja vya General tire vilivyopo jijini Arusha.
Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa
katika picha ya pamoja wakati wa tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
inayofanyika katika Maonesho ya kimataifa ya usalama mahala pa kazi katika
viwanja vya General tire vilivyopo jijini Arusha.
Comments
Post a Comment