Wafanyakazi wa JKCI waadhimisha siku ya wafanyakazi duniani



Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu "Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha" yaliyofanyika kitaifa Mkoani Arusha.

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kwenda kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu "Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha" yaliyofanyika kitaifa Mkoani Arusha.

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika jana kimkoa katika Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu "Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha" yaliyofanyika kitaifa Mkoani Arusha.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo