Wauguzi wapigwa msasa wa jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi

Mkufunzi wa mafunzo ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Afisa Muuguzi Kiasha Mclnnis akiwafundisha wauguzi wa taasisi hiyo jinsi ya kuwahudumia wagonjwa hao.

Afisa Muuguzi wa Chumba cha Wagonjwa wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Lucy Kabeya akiwafundisha wauguzi wa Taasisi hiyo namna ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi.

Maafisa Uuuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mafunzo ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi yaliyofanyika hivi karibuni katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo