JKCI yawahimiza wagonjwa matumizi sahihi ya dawa
Mfamasia wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Benitho Ng’ingo akitoa elimu ya matumizi sahihi ya dawa kwa wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi hiyo ikiwa ni ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Wafamasia Duniani inayofanyika tarehe 25 Septemba. Mfamasia wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rweyemamu Peter akiangalia dawa zinazotumiwa na mgonjwa anayetibiwa katika taasisi hiyo wakati akitoa elimu ya matumizi sahihi ya dawa ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Wafamasia Duniani inayofanyika tarehe 25 Septemba. Mkuu wa Idara ya Famasia wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Wellu Kaali akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafamasia wa Taasisi hiyo mara baada ya kumaliza kutoa elimu ya matumizi sahihi ya dawa kwa wagonjwa wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Wafamasia Duniani inayofanyika tarehe 25 Septemba. Na JKCI ******************************************************************************************...