JKCI yapokea tuzo Mkutano Mkuu wa Utumishi wa Umma Arusha
Waziri Ofisi ya Rais,
Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete
akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.
Peter Kisenge tuzo ya mdhamini mkuu wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za
Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Waziri Ofisi ya Rais,
Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete
akimkabidhi cheti mfanyakazi bora wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Afisa Utawala Adila Lugamara wakati wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za
Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Waziri Ofisi ya Rais,
Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete
akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.
Peter Kisenge tuzo ya mtoa mada wakati wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya
za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Waziri Ofisi ya Rais,
Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa
katika picha ya pamoja na wadhamini wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za
Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Baadhi ya Maafisa
Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
wakifuatilia mada zinazoendelea katika Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za
Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya
pamoja na Maafisa Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) wakati wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na
Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma Tanzania unaofanyika
katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Picha na JKCI
*********************************************************************************************
Comments
Post a Comment