Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Dkt. Peter Kisenge akizungumza na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa
Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam wakati wa kikao chake na madaktari hao
kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo
wakiwemo wagonjwa na kuangalia namna ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi
Daktari
bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Yona Gandye
akizungumza wakati wa kikao cha madaktari hao na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI
Dkt. Peter Kisenge leo Jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kuboresha utoaji
wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo wakiwemo wagonjwa na kuangalia namna ya
kuboresha maslahi ya wafanyakazi
Daktari
bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Honoratha
Maucky akizungumza wakati wa kikao cha madaktari hao na Mkurugenzi Mtendaji wa
JKCI Dkt. Peter Kisenge leo Jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kuboresha
utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo wakiwemo wagonjwa na kuangalia
namna ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi
Daktari
wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Amanda
Anyoti akizungumza wakati wa kikao cha madaktari hao na Mkurugenzi Mtendaji wa
JKCI Dkt. Peter Kisenge leo Jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kuboresha
utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo wakiwemo wagonjwa na kuangalia
namna ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi
Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo
Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter
Kisenge wakati wa kikao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja
wa Taasisi hiyo wakiwemo wagonjwa na kuangalia namna ya kuboresha maslahi ya
wafanyakazi
Picha na: Khamis Mussa
*************************************************************************************
Comments
Post a Comment