Dkt.Kisenge akutana na wauguzi kujua changamoto zao za kazi


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na maafisa Uuguzi wa Taasisi hiyo (hawapo pichani) wakati wa kikao na maafisa hao kujadili mambo mbalimbali yatakayoboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam


Mhudumu wa Afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adeligo Jeremia akielezea majukumu yanayofanywa na maafisa hao wakati wa kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI kujadili mambo mbalimbali yatakayoboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Martha Emmanuel akielezea namna ambavyo wauguzi wa chumba cha upasuaji mdogo wa moyo wanavyotekeleza majukumu yao wakati wa kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI kujadili mambo mbalimbali yatakayoboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salam

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Eben Ngowi akielezea huduma zinazotolewa kwa wagonjwa waliolazwa wodini wakati wa kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI kujadili mambo mbalimbali yatakayoboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

Baadhi ya wauguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza taarifa zilizokuwa zinatolewa wakati wa kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI kujadili mambo mbalimbali yatakayoboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

Picha na: JKCI

******************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)