Upasuaji wa kuzibua valvu za moyo kwa kutumia mtambo wa Cathlab wafanyika JKCI

Wataalam wa magonjwa ya moyo kwa watu wazima wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Madaktari Afrika la nchini Marekani wakifanya upasuaji wa bila kufungua kifua kwa kupasua sehemu ndogo kwenye paja kwa kutumia mtambo wa Cathlab kuzibua Valvu ya moyo (Valve Intervention - Mitral Valve balloon Valvuloplasty Procedure) kwa mgonjwa ambaye valvu yake imeziba na kushindwa kupitisha damu katika kambi maalum ya matibabu ya moyo ya  siku nne inayoendelea katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na Khamis Mussa

 


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo