Dkt. Kisenge afanya kikao na wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

 


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam wakati wa kikao chake na wafanyakazi hao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na jinsi ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.


Afisa Utumishi  wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Kelvin Manyanga akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge leo jijini Dar es Salaam cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na jinsi ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.


 Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adam Sembe akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge leo jijini Dar es Salaam cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na jinsi ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.


Wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza  Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo  wakiwemo wagonjwa  na kuangalia namna ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA Ashura Ally akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge leo jijini Dar es Salaam cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na kuangalia namna ya kuboresha  maslahi ya wafanyakazi.

Picha na Khamis Mussa

 


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)