Dkt. Kisenge afanya kikao na wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

 


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam wakati wa kikao chake na wafanyakazi hao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na jinsi ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.


Afisa Utumishi  wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Kelvin Manyanga akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge leo jijini Dar es Salaam cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na jinsi ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.


 Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adam Sembe akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge leo jijini Dar es Salaam cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na jinsi ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.


Wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza  Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo  wakiwemo wagonjwa  na kuangalia namna ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA Ashura Ally akizungumza wakati wa kikao cha wafanyakazi mwega (non-medical staff) wa Taasisi hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge leo jijini Dar es Salaam cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa JKCI wakiwemo wagonjwa  na kuangalia namna ya kuboresha  maslahi ya wafanyakazi.

Picha na Khamis Mussa

 


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo