Dkt. Kisenge afanya kikao na viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwaonesha viongozi wa Taasisi hiyo kitabu cha mpango mkakati wa mwaka 2022/23 – 2026/27 wa Taasisi katika kikao chake na viongozi hao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa ndani na wa nje ya JKCI

Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA Agnes Kuhenga akifafanua jambo wakati wa kikao cha viongozi WA Taasisi hiyo cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja. 

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Malya akielezea jinsi ambavyo idara hiyo inafanya kazi ya kuwahudumia wagonjwa wakati wa kikao cha viongozi na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo.

Mkurugenzi wa Idara ya Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akizungumza wakati wa kikao cha viongozi wa Taasisi hiyo cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa ndani na wa nje ya JKCI

Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa ndani na wa nje wa Taasisi hiyo

Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo kilichofanyika Jana Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Tiba ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza  wakati wa kikao cha viongozi na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge cha kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wa Taasisi hiyo.

Msimamizi wa wodi namba moja wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Afisa Muuguzi Paulo Josephat akielezea huduma zinazotolewa kwa wagonjwa waliolazwa wodi hiyo wakati wa kikao cha viongozi na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge kujadili namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja.

 Picha na: Khamis Mussa

 *****************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)