Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge, Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Sarah Mwaipopo wala kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma

Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Christopher Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Sarah Duncan Mwaipopo pamoja na Wakuu mbalimbali wa Taasisi akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wa kwanza mstari wa pili kushoto wakila kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22, Oktoba 2022.

Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Christopher Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Sarah Duncan Mwaipopo pamoja na Wakuu mbalimbali wa Taasisi akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wa kwanza mstari wa pili kushoto wakisaini kiapo chao cha Maadili ya Viongozi wa Umma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22, Oktoba 2022.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Christopher Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Sarah Duncan Mwaipopo na Wakuu mbalimbali wa Taasisi akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wa kwanza mstari wa pili kushoto kwenye hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22, Oktoba 2022.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Christopher Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Sarah Duncan Mwaipopo na Wakuu mbalimbali wa Taasisi akiwemo Mkurugenzi Mtendaji  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge  wa kwanza mstari wa pili kushoto kwenye hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22, Oktoba 2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro, Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Christopher Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Sarah Duncan Mwaipopo pamoja  na Wakuu mbalimbali wa Taasisi akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge mara baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22, Oktoba, 2022.

Picha na Ikulu

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)