watoto 70 kufanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalum ya matibabu ya siku tano iliyoanza leo tarehe 10 hadi 14/10/2022





Wataalam wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa nchini Saudi Arabia ambao ni moja ya mradi wa Afya ulioko ndani ya Taasisi ya Msaada ya Muntada yenye makao yake makuu mjini London nchini Uingereza wakifanya upasuaji wa bila kufungua kifua wa kuziba tundu la moyo wa mtoto kwa kupasua sehemu ndogo kwenye paja kwa kutumia mtambo wa Cathlab katika kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku tano iliyoanza leo Jijini Dar es Salaam. Katika kambi hiyo watoto 70 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo, matundu na mishipa ya damu ya moyo kutokukaa katika mpangilio wake watafanyiwa upasuaji wa moyo wa kufungua na bila kufungua kifua

Picha na Khamis Mussa

 *******************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)