Wakuu wa Taasisi za afya zinazotoa huduma bingwa bobezi wakutana kuboresha ushirikiano na masuala ya tafiti
Wakurugenzi Watendaji
kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Hospitali ya
Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo, Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo
Muhimbili (MOI) Balozi Ulisubisya Mpoki, Mwakilishi wa Taasisi ya Saratani
Ocean Road (ORCI) Dkt. Nazima Dharsee,
na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS)
Prof. Appolinary Kamuhabwa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya
kumalizika kwa kikao cha ujirani mwema kuimarisha ushirikiano na kuboresha
utoaji wa huduma kilichofanyika jana katika Ukumbi wa MUHAS jijini Dar es
Salaam.
Wakurugenzi Watendaji kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo, Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Balozi Ulisubisya Mpoki, Mwakilishi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Nazima Dharsee, na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa JKCI mara baada ya kumalizika kwa kikao cha ujirani mwema kuimarisha ushirikiano na kuboresha utoaji wa huduma kilichofanyika jana katika Ukumbi wa MUHAS iliyopo jijini Dar es Salaam.
Picha na JKCI
*******************************************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment