Mkutano wa kushirikiana kitaaluma na kitafiti za afya wafanyika Poland
Wageni
kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi
Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), Chuo Kikuu cha Rwanda na Chuo Kikuu cha
Wanawake cha Ahfad Kilichopo nchini Sudani wakiwa katika mkutano wa wiki moja
na viongozi wa Chuo Kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland kujadili namna ya
kushirikiana kitaalum na kitafiti katika masuala ya afya.
Wageni kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo
Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), Chuo Kikuu cha
Rwanda na Chuo Kikuu cha Wanawake cha Ahfad Kilichopo nchini Sudani
wakitembelea maeneo mbalimbali ya Chuo Kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland
wakati wa mkutano wa kujadili namna ya kushirikiana baina yao kitaaluma na
kitafiti katika masuala ya afya
*************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment