Mkutano wa kushirikiana kitaaluma na kitafiti za afya wafanyika Poland



Wageni kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), Chuo Kikuu cha Rwanda na Chuo Kikuu cha Wanawake cha Ahfad Kilichopo nchini Sudani wakiwa katika mkutano wa wiki moja na viongozi wa Chuo Kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland kujadili namna ya kushirikiana kitaalum na kitafiti katika masuala ya afya.




Wageni kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), Chuo Kikuu cha Rwanda na Chuo Kikuu cha Wanawake cha Ahfad Kilichopo nchini Sudani wakitembelea maeneo mbalimbali ya Chuo Kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland wakati wa mkutano wa kujadili namna ya kushirikiana baina yao kitaaluma na kitafiti katika masuala ya afya

*************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)