JKCI kwenda kutoa matibabu ya moyo nchini Malawi


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wataalam wa afya wa JKCI wanaokwenda nchini Malawi katika Hospitali ya Queen Elizabeth kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu na uchunguzi wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Malawi wakati akiwaaga ofisini kwake kabla ya kuanza safari yao kesho.


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wataalam wa afya wa JKCI wanaokwenda nchini Malawi katika Hospitali ya Queen Elizabeth kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu na uchunguzi wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Malawi wakati akiwaaga ofisini kwake kabla ya kuanza safari yao kesho.

Picha na: JKCI

************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa