JKCI kwenda kutoa matibabu ya moyo nchini Malawi


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wataalam wa afya wa JKCI wanaokwenda nchini Malawi katika Hospitali ya Queen Elizabeth kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu na uchunguzi wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Malawi wakati akiwaaga ofisini kwake kabla ya kuanza safari yao kesho.


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wataalam wa afya wa JKCI wanaokwenda nchini Malawi katika Hospitali ya Queen Elizabeth kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu na uchunguzi wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Malawi wakati akiwaaga ofisini kwake kabla ya kuanza safari yao kesho.

Picha na: JKCI

************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)