JKCI kwenda kutoa matibabu ya moyo nchini Malawi
Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge
akizungumza na wataalam wa afya wa JKCI wanaokwenda nchini Malawi katika
Hospitali ya Queen Elizabeth kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu na uchunguzi
wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Malawi wakati akiwaaga ofisini kwake kabla
ya kuanza safari yao kesho.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa
katika picha ya pamoja na wataalam wa afya wa JKCI wanaokwenda nchini Malawi
katika Hospitali ya Queen Elizabeth kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu na
uchunguzi wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Malawi wakati akiwaaga ofisini
kwake kabla ya kuanza safari yao kesho.
Picha na: JKCI
************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment