Manyara waendelea kupatiwa huduma za matibabu ya moyo
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Magreth
Ng’ondya akimsikiliza mkazi wa Manyara Liberan Assey aliyefika katika Hospitali
ya Rufaa Mkoa wa Manyara (MRRH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu ya moyo wakati
wa kambi maalum ya siku tano inayofanywa na wataalam wa afya wa JKCI kwa
kushirikiana na wenzao wa MRRH
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna
Faraji akimsikiliza mkazi wa Manyara Bausi Nuru aliyekuwa anauliza swali kuhusu
lishe bora wakati wa kambi maalum ya siku tano inayofanywa na wataalam wa afya
wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa MRRH
Mtafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Zabella
Mkojera akimuuliza maswali ya ufahamu kuhusu magonjwa yasiyo yakuambukiza
yakiwemo magonjwa ya moyo mkazi wa Manyara wakati wa kambi maalum ya siku tano
inayofanywa na wataalam wa afya wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa MRRH
Picha na: JKCI
**************************************************************************************************
Comments
Post a Comment