Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) waadhimisha siku ya wafanyakazi duniani
Wafanyakazi
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika maandamano ya
kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani leo katika Uwanja wa Uhuru uliopo
jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu “Mishahara bora na
ajira za staha ni nguzo kwa maendeleo ya wafanyakazi, wakati ni sasa”
yamefanyika kitaifa Mkoani Morogoro
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani
leo katika Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye
kauli mbiu “Mishahara bora na ajira za staha ni nguzo kwa maendeleo ya
wafanyakazi, wakati ni sasa” yamefanyika kitaifa Mkoani Morogoro.
Comments
Post a Comment