Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) waadhimisha siku ya wafanyakazi duniani



Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani leo katika Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu “Mishahara bora na ajira za staha ni nguzo kwa maendeleo ya wafanyakazi, wakati ni sasa” yamefanyika kitaifa Mkoani Morogoro



Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani leo katika Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu “Mishahara bora na ajira za staha ni nguzo kwa maendeleo ya wafanyakazi, wakati ni sasa” yamefanyika kitaifa Mkoani Morogoro.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)