Wafanyakazi wa JKCI wafanya mazoezi kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza



Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club pamoja na wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kuanza kwa mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 5 ikiwa ni kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”. 


Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club pamoja na wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 5 wakati wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”. 
 

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket wakiwaongoza Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club kufanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 5 wakati wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”. 

Picha na: Khamis Mussa

********************************************************************************************************************************


Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari