Wafanyakazi wa JKCI wafanya mazoezi kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club pamoja na wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kuanza kwa mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 5 ikiwa ni kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club pamoja na wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 5 wakati wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket wakiwaongoza Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club kufanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 5 wakati wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”.
Picha na: Khamis Mussa
********************************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment