Wapimwa viashiria vya magonjwa ya moyo kwenye Tamasha la EFM Jogging
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Khairoon
Mohamed akimuelezea madhara yanayoweza kusababishwa na mtindo mbaya wa maisha
mdau wa jogging aliyeshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu
Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry
Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia
damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)
Mtafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loveness
Mfanga akimuuliza maswali ya uelewa kuhusu magonjwa yasiyoambukiza mdau wa
jogging aliyeshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza
magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini
Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa
wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Oliver
Marandu akimpima wingi wa sukari mwilini mdau wa jogging aliyeshiriki kwenye
Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza
lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM
wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa
JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)
Comments
Post a Comment