Wapimwa viashiria vya magonjwa ya moyo kwenye Tamasha la EFM Jogging


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye akimkabidhi cheti cha ushiriki wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwenye Tamasha la EFM jogging Afisa Uuguzi wa JKCI Oliver Marandu wakati wa Tamasha hilo lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)


Maafisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwapima shinikizo la damu wadau wa jogging walioshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)

Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Khairoon Mohamed akimuelezea madhara yanayoweza kusababishwa na mtindo mbaya wa maisha mdau wa jogging aliyeshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)

Mtafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loveness Mfanga akimuuliza maswali ya uelewa kuhusu magonjwa yasiyoambukiza mdau wa jogging aliyeshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Oliver Marandu akimpima wingi wa sukari mwilini mdau wa jogging aliyeshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)


Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Beatrice Daniel akimpima urefu na uzito mdau wa jogging aliyeshiriki kwenye Tamasha la EFM Jogging lenye kauli mbiu Tokomeza magonjwa yasiyoambukiza lililofanyika leo katika viwanja vya Dry Morocco jijini Dar es Salaam. EFM wameandaa Tamasha hilo kwa ajili ya kuchangia damu kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)

Picha na: JKCI
***********************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)