JKCI yawapongeza wafanyakazi hodari na kuwaaga wastaafu
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akimkabidhi hundi ya shilingi milioni tisa laki
nane na elfu tisini na tano mstaafu katika Taasisi hiyo ambaye alikuwa Mhudumu
wa Afya Peter John wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wastaafu na kuwapongeza
wafanyakazi hodari iliyofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini
Dar es Salaam
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akimkabidhi Cheti mfanyakazi hodari robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya kwanza Mhasibu Adam Sembe wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wastaafu na kuwapongeza wafanyakazi hodari iliyofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akimkabidhi Cheti mfanyakazi hodari robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya pili Afisa Tehama Fiona Kavishe wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wastaafu na kuwapongeza wafanyakazi hodari iliyofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akimkabidhi Cheti mfanyakazi hodari robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya tatu Afisa Rasilimali Watu Umul-kher Seiff wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wastaafu na kuwapongeza wafanyakazi hodari iliyofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akimkabidhi Cheti mfanyakazi hodari robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya tatu Mfamasia Miraji Dhahiri wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wastaafu na kuwapongeza wafanyakazi hodari iliyofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Aliyekuwa Mhudumu wa Afya katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete na kustaafu hivi karibuni Peter John akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo na baadhi ya viongozi wa Menejimenti wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wastaafu na kuwapongeza wafanyakazi hodari iliyofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Picha na: JKCI
********************************************************************************************************
Comments
Post a Comment