JKCI kushirikiana na chuo kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland katika masuala ya afya







Viongozi wa Chuo Kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland wakiwakaribisha wageni kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS) Chuo kikuu cha  Rwanda na Chuo kikuu cha Wanawake cha Ahfad kilichopo nchini Sudani kwaajili ya maandalizi ya mkutano wa wiki moja baina yao wa kujadili namna ya kushirikiana kitaaluma na kitafiti katika masuala ya Afya.

*****************************************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)