JKCI kushirikiana na chuo kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland katika masuala ya afya
Viongozi wa Chuo Kikuu cha Jagiellonian cha nchini Poland wakiwakaribisha wageni kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS) Chuo kikuu cha Rwanda na Chuo kikuu cha Wanawake cha Ahfad kilichopo nchini Sudani kwaajili ya maandalizi ya mkutano wa wiki moja baina yao wa kujadili namna ya kushirikiana kitaaluma na kitafiti katika masuala ya Afya.
*****************************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment