JKCI yanunua mashine za kisasa za ECHO zenye thamani ya shilingi 596,521,800


Mtaalam wa kufanya kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiogram - ECHO) kutoka Kampuni ya Mindray iliyopo nchini China akiwafundisha wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) namna ya kutumia mashine mpya ya kisasa ya kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiogram - ECHO) wakati wa mafunzo ya siku mbili yaliyofanyika katika Taasisi hiyo. JKCI imenunua mashine tatu za kisasa za Echo zenye thamani ya shilingi 596,521,800 kwaajili ya kuboresha huduma za matibabu ya moyo kwa wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi hiyo.


 Wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakijadiliana na mtaalam wa kufanya kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiogram - ECHO) kutoka Kampuni ya Mindray iliyopo nchini China wakati wa mafunzo ya siku mbili ya kutumia mashine mpya ya kisasa ya kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiogram - ECHO) yaliyofanyika katika Taasisi hiyo. JKCI imenunua mashine tatu za kisasa za Echo zenye thamani ya shilingi 596,521,800 kwaajili ya kuboresha huduma za matibabu ya moyo kwa wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi hiyo.

Picha na: JKCI

*************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari