Wanafunzi Kibaha wapimwa moyo




Afisa Takwimu wa Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Makrina Komba akimuelezea Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Kibaha Nyanjige Shimote kuhusu huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo kwa watoto alipotembelea Shule ya Sekondari ya Bundikani iliyopo Manispaa ya Kibaha wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo ijulikanayo kama  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba katika kuadhimisha miaka kumi ya JKCI inayofanyika katika Wilaya ya Kibaha.


Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Stella Mongela akimpima mapigo ya moyo kupitia kwenye mkono Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Bundikani iliyopo Manispaa ya Kibaha wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo ijulikanayo kama  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba katika kuadhimisha miaka kumi ya JKCI inayofanyika katika Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani. 

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prisca Kiyuka akimpatia ushauri kuhusu magonjwa ya moyo mwanafunzi wa Shule ya Sekondari  Bundikani iliyopo Manispaa ya Kibaha wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo ijulikanayo kama  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba katika kuadhimisha miaka kumi ya JKCI inayofanyika katika Wilaya ya Kibaha.

Daktari bingwa wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Theophil Ludovic akiwafundisha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bundikani iliyopo Manispaa ya Kibaha namna ya kujikinga na magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo ijulikanayo kama  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba katika kuadhimisha miaka kumi ya JKCI inayofanyika katika Wilaya ya Kibaha.


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bundikani iliyopo Manispaa ya Kibaha wakisubiri kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba katika kuadhimisha miaka kumi ya JKCI inayofanywa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Wilayani Kibaha. 

Picha na JKCI

************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa